Kwa mujibu wa ripota wa IQNA, washindi wa mashindano hayo wametangazwa leo na kutunukiwa zawadi katika shehrehe ambayo imehudhuriwa na Sayyed Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Washindi wa mashindano hayo ni kama ifuatavyo.
Sehemu ya wanawake
Usomaji Tartil
Fahima Asgharzadeh kutoka Iran, nafasi ya kwanza
Leila Afare kutoka Lebanon, nafasi ya pili
Amina Shirzad kutoka Afghanistan alishika nafasi ya tatu
Kuhifadhi
Amina Ibrahim kutoka Ghana, nafasi ya kwanza
Hajar Mehralian kutoka Iran, nafasi ya pili
Nasreen Khalidi kutoka Algeria, nafasi ya tatu
Sehemu ya wanaume
Usomaji wa Tartil
Mohammad Javad Javari kutoka Iran alishika nafasi ya kwanza
Mohammadyar kutoka Kyrgyzstan alishika nafasi ya pili
Ismail Hamdan kutoka Lebanon, nafasi ya tatu
Usomaji wa Tahqiq
Amirhossein Rahmati kutoka Iran alishika nafasi ya kwanza
Sidamir Hashemi kutoka Afghanistan, nafasi ya pili
Abdullah Fekri kutoka Indonesia alishika nafasi ya tatu
Kuhifadhi
Sina Tabakhi kutoka Iran alishika nafasi ya kwanza
Abdul Aleem Abdul Rahim kutoka Kenya, nafasi ya pili
Sheikh Mahmood Hasan kutoka Bangladesh nafasi ya tatu