TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kura ya maoni ambayo imeidhinisha marufuku ya vazi la nikabu linalotumiwa na wanawake Waislamu.
Habari ID: 3473717 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08
TEHRAN (IQNA)- Uswisi imeitisha kura ya maoni kuhusu marufuku ya vazi la nikabu (niqabu) au burqa linalotumiwa na wanawake Waislamu kufunika uso kikamilifu.
Habari ID: 3473571 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19
TEHRAN (IQNA)- Mji wa Lausanne nchini Usiwisi umewazuia wanandoa Waislamu kuchukua uraia wa nchi hiyo kutokana na msimamo wao wa kukata kupeana mkono na watu ajinabi.
Habari ID: 3471633 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/18
Serikali ya Uswisi imesitisha mchakato wa kuzipa uraia familia mbili za Waislamu ambao watoto wao wawili wa kiume mabarobaro walikataa kuwapa mikono walimu wao wa kike.
Habari ID: 3470257 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/20