IQNA

Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi. 
23:19 , 2025 May 06
Tuzo  ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala: Raundi ya pili ya hatua ya awali yaanza

Tuzo  ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala: Raundi ya pili ya hatua ya awali yaanza

IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
22:48 , 2025 May 06
Picha: Haram ya Imam Ridha (AS) yawakaribisha maelfu ya vijana wanaojifunza Qur’ani

Picha: Haram ya Imam Ridha (AS) yawakaribisha maelfu ya vijana wanaojifunza Qur’ani

IQNA – Takribani vijana 5,000 wanaojifunza Qur’ani walikusanyika katika haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad mnamo Mei 3, 2025, kusoma Qur’ani Tukufu wakati wa sherehe za kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
16:45 , 2025 May 05
Saudi Arabia yaanzisha kampeni ya kukabiliana na utapeli katika Hija

Saudi Arabia yaanzisha kampeni ya kukabiliana na utapeli katika Hija

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimewakamata raia watano wa kigeni huko Khamis Mushayt, katika mkoa wa Asir kusini mwa nchi, kwa kuhusika na mpango wa kuwatapeli Mahujaji.
16:40 , 2025 May 05
Operesheni ya usafi yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) wakati wa Wiki ya Karamat

Operesheni ya usafi yafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) wakati wa Wiki ya Karamat

IQNA – Operesheni maalumu ya usafi imefanyika katika haram takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, siku ya Jumamosi, kabla ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
16:28 , 2025 May 05
Wizi wa Hati za Kiislamu: Jaribio la Wazayuni la kufuta utambulisho wa Waislamu

Wizi wa Hati za Kiislamu: Jaribio la Wazayuni la kufuta utambulisho wa Waislamu

IQNA – Utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakalia ardhi za Palestina kwa mabavu umejaribu mbinu mbalimbali kuiba hati za kale za Kiislamu.
16:03 , 2025 May 05
Msomi: Hija Ni Fursa ya Kujitambua

Msomi: Hija Ni Fursa ya Kujitambua

IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija aameitaja safari ya Hija kama fursa ya dhahabu ya kujitambua na kupata uelewa wa kina zaidi wa Uislamu.
15:44 , 2025 May 05
Kanuni mpya zaibua changamoto katika mfumo wa elimu ya Qur'ani nchini Morocco

Kanuni mpya zaibua changamoto katika mfumo wa elimu ya Qur'ani nchini Morocco

IQNA – Taasisi za elimu za kitamaduni nchini Morocco zimekumbana na changamoto baada ya kuwasilishwa kwa kanuni mpya za kusaidia vituo binafsi vya Qur'ani.
15:32 , 2025 May 05
17