IQNA

Msomi: Qurani Tukufu ni Katiba Kamili ya Maisha ya Kiuchumi, Kitamaduni na Kisiasa

IQNA-Sheikh Mamosta Fayeq Rostami, msomi maarufu wa Ahul Sunna na mwakilishi wa watu wa Kurdistan katika Baraza la wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi...

Waziri wa Utamaduni wa Thailand Azuru Makumbusho Mpya ya Urithi wa Kiislamu na Kituo cha Qur'ani

IQNA – Bi Zubaydah Taysert, Waziri wa Utamaduni wa Thailand, alifanya ziara rasmi katika Makumbusho ya Urithi wa Kiislamu na Kituo cha Elimu ya Qur'ani...

Usajili Wazinduliwa Qatar kwa Mashindano ya Qurani ya Sheikh Jassim

IQNA – Usajili umefunguliwa kwa toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani nchini Qatar.

Fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu Yazinduliwa Sanandaj, Iran

IQNA-Awamu ya mwisho ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya 48 imezinduliwa rasmi katika hafla iliyofanyika asubuhi...
Habari Maalumu
Muswada wa Chama cha Mrengo wa Kulia Wapendekeza Marufuku ya Niqabu Uidhinishwe chini Ureno
n

Muswada wa Chama cha Mrengo wa Kulia Wapendekeza Marufuku ya Niqabu Uidhinishwe chini Ureno

IQNA-Bunge la Ureno limeidhinisha muswada unaopendekeza marufuku ya uvaaji wa Hijabu aina ya Niqabu au Burqa kwa sababu za kijinsia au za kidini katika...
19 Oct 2025, 09:44
Shule ya Mason, Ohio, Marekani, Yafundisha Wanafunzi Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Shule ya Mason, Ohio, Marekani, Yafundisha Wanafunzi Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA-Katika mji wa Mason, jimbo la Ohio nchini Marekani, kuna shule inayojulikana kama ICM Learning Academy ambayo hufundisha wanafunzi si tu kusoma Qur’ani...
19 Oct 2025, 09:32
Ammri Nane za Ushirikiano Katika Qur'ani Tukufu
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/3

Ammri Nane za Ushirikiano Katika Qur'ani Tukufu

IQNA-Katika Aya ya pili ya Surah Al-Ma’idah, Mwenyezi Mungu Mtukufu ametaja amri nane muhimu, ambazo ni miongoni mwa maagizo ya mwisho aliyoteremshiwa...
19 Oct 2025, 09:21
Vyuo Vikuu Bora  Vyaenziwa katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al-Nur’ nchini Iraq

Vyuo Vikuu Bora Vyaenziwa katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al-Nur’ nchini Iraq

IQNA-Hafla ya kuvienzi vyuo vikuu vilivyofanya vyema pamoja na kamati ya majaji walioshiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya vyuo vikuu, yaliyopewa...
18 Oct 2025, 07:58
Maonyesho ya "Misikiti katika Uislamu" Yafanyika Paris

Maonyesho ya "Misikiti katika Uislamu" Yafanyika Paris

IQNA – "Misikiti katika Uislamu" ni jina la maonyesho ya sanaa yaliyozinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa.
18 Oct 2025, 07:47
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Kazakhstan Watunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Kazakhstan Watunukiwa

IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Kazakhstan limehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini...
18 Oct 2025, 07:36
Waziri wa Kizayuni  Auhujumu Tena Msikiti wa Al-Aqsa

Waziri wa Kizayuni Auhujumu Tena Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA-Itamar Ben Gvir, Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni, licha ya onyo kutoka kwa Waqfu wa Kiislamu, ameuvamia tena Msikiti wa Al-Aqsa...
18 Oct 2025, 08:12
Sheikh Ahmed Nuaina Achaguliwa Kuwa Sheikh al-Qurra wa Misri

Sheikh Ahmed Nuaina Achaguliwa Kuwa Sheikh al-Qurra wa Misri

IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini...
17 Oct 2025, 07:45
Makkah: Mradi Mpya wa Lango la Mfalme Salman Kuongeza Maeneo ya Sala katika Msikiti Mkuu wa Makka

Makkah: Mradi Mpya wa Lango la Mfalme Salman Kuongeza Maeneo ya Sala katika Msikiti Mkuu wa Makka

IQNA – Katika juhudi za kuboresha huduma kwa mahujaji na wakazi wa Makkah, kampuni ya RUA Al Haram Al Makki imetangaza mradi mkubwa wa maendeleo unaojulikana...
17 Oct 2025, 07:38
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Yawaleta Wanafunzi wa Dunia Karbala

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Yawaleta Wanafunzi wa Dunia Karbala

IQNA – Chuo Kikuu cha Al-Ameed kimeandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an yanayojulikana kama “Qur'an Al-Nur”, yakihusisha wanafunzi kutoka zaidi ya vyuo...
17 Oct 2025, 07:24
Mashindano ya Pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Yafanyika Astana, Kazakhstan

Mashindano ya Pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Yafanyika Astana, Kazakhstan

IQNA – Tarehe 15 Oktoba, katika Msikiti Mkuu wa Astana, Kazakhstan, mashindano ya pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'an Tukufu yamekamilika,...
17 Oct 2025, 07:17
Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

IQNA – Dar al-Ifta ya Misri imetoa fatwa mpya ya kidini inayoruhusu raia kuelekeza mali ya zakat kusaidia mahitaji ya msingi ya watu waliokoseshwa makazi...
15 Oct 2025, 23:38
Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya  Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind bint Maktoum imeanza rasmi Dubai, ikiwakutanisha wanaume na wanawake wanaohifadhi...
15 Oct 2025, 23:28
Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

IQNA – Kijana mmoja wa Kipalestina amegundua nakala ya Msahafu ikiwa salama kabisa chini ya magofu ya nyumba yake iliyoharibiwa kaskazini mwa Gaza, akieleza...
15 Oct 2025, 23:08
Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

IQNA – Imamu Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu matukufu ydini na kuepa uka matusi au dharau dhidi...
15 Oct 2025, 12:37
Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

IQNA – Maktaba ya Kitume ya Vatican imetenga eneo dogo kwa ajili ya watafiti Waislamu kuswali wanapoitembelea.
15 Oct 2025, 12:20
Picha‎ - Filamu‎