IQNA

Maonyesho ya Muharram nchini Tanzania yazingatia subira ya Bibi Zaynab (SA)

IQNA – Mwaka huu, kwa mara ya sita mfululizo, vijana Waislamu wa madhehebu Kishia wa jamii ya Khoja Ithnashari nchini Tanzania wameandaa maonyesho ya Muharram...

Wanazuoni wa Kiislamu duniani wataka mataifa ya Kiislamu kuisaidia Gaza

IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito kwa serikali za Kiislamu na mataifa ya Waislamu kuchukua hatua na kufanya jihadi...

Polisi wa Denmark wachunguza shambulio dhidi ya Msikiti wa Imam Ali (AS)

IQNA – Polisi katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio lililofanywa na kundi la vijana wa mrengo mkali dhidi...

Mtaalamu kutoka Iran kujiunga na Jopo la Majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Malaysia

IQNA – Kwa mara ya kwanza baada ya karibu miongo miwili, mtaalamu wa Qur’an Tukufu kutoka Iran atahudhuria kama jaji katika mashindano ya kimataifa ya...
Habari Maalumu
Msahafu ulioandikwa kwa mkono India kukabidhiwa Jumba la Makumbusho la Madina

Msahafu ulioandikwa kwa mkono India kukabidhiwa Jumba la Makumbusho la Madina

IQNA – Msahafu au nakala adimu ya Qur’an Tukufu iliyoandikwa kwa mkono juu ya kitambaa inatazamiwa kutolewa rasmi kama zawadi kutoka India kwa Saudi Arabia,...
22 Jul 2025, 15:22
Misri yaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Qari mashuhuri Sheikh Mahmud Ali Al-Banna

Misri yaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Qari mashuhuri Sheikh Mahmud Ali Al-Banna

IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika...
21 Jul 2025, 21:15
Msomi: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalilenga kuzuia ustawi wa Iran

Msomi: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalilenga kuzuia ustawi wa Iran

IQNA – Profesa Ali Montazeri, Mkuu wa Akademia ya Kitaifa cha Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) nchini Iran, amesema kuwa lengo la mashambulizi ya pamoja...
21 Jul 2025, 21:09
Ubunifu katika usomaji wa Maqariwa Iran: Mada Kuu ya Mkutano wa 20 wa Wataalamu wa Qur’ani

Ubunifu katika usomaji wa Maqariwa Iran: Mada Kuu ya Mkutano wa 20 wa Wataalamu wa Qur’ani

IQNA – Mkutano wa 20 wa wataalamu wa Qur’ani, makari na wahifadhi wa Iran utafanyika mwezi Novemba mwaka huu chini ya usimamizi wa Baraza Kuu la Qur’ani.
21 Jul 2025, 20:58
Papa Leo XIV alaani ‘Unyama’ wa Mashambulizi ya Israeli na mzingiro wa Gaza

Papa Leo XIV alaani ‘Unyama’ wa Mashambulizi ya Israeli na mzingiro wa Gaza

IQNA – Papa Leo XIV amelaani vikali vita vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza, akielezea vita hiyo kuwa ya “kinyama” na kukosoa matumizi...
21 Jul 2025, 20:42
Idhaa ya Qur'ani ya Misri yapokea turathi za utamaduni za Qari ,ashuhuri Ahmed Shabib

Idhaa ya Qur'ani ya Misri yapokea turathi za utamaduni za Qari ,ashuhuri Ahmed Shabib

IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea...
21 Jul 2025, 19:40
Mtaalamu wa Lebanon: Iran imezima Mpango wa Marekani na Israel wa “Mashariki ya Kati Mpya”

Mtaalamu wa Lebanon: Iran imezima Mpango wa Marekani na Israel wa “Mashariki ya Kati Mpya”

IQNA – Mtaalamu kutoka chuo kikuu nchini Lebanon amesema kuwa lengo la utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya lilikuwa kuuangusha mfumo wa...
20 Jul 2025, 20:12
Usomaji wa Surah Al-Nasr kwa Sauti ya Qari kutoka Afrika ya Kati

Usomaji wa Surah Al-Nasr kwa Sauti ya Qari kutoka Afrika ya Kati

IQNA- Ibrahim Isa Musa, qari mashuhuri kutoka Afrika ya Kati, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” iliyoandaliwa na shirika la IQNA kwa kusoma...
20 Jul 2025, 18:57
Msikiti Mkuu wa Makka waandaa darasa maalum za Qur’ani kwa wanawake

Msikiti Mkuu wa Makka waandaa darasa maalum za Qur’ani kwa wanawake

IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa wanawake imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.
20 Jul 2025, 18:44
Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa Kiislamu Imeanza mtandaoni

Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa Kiislamu Imeanza mtandaoni

IQNA-Hatua ya Awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu Imeanza kwa Njia ya Mtandao
20 Jul 2025, 18:27
Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

Wayemen karibu milioni washiriki maandamano makubwa kulaani jinai za Israel na Marekani

IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko...
19 Jul 2025, 17:54
Baraza la Fatwa la Syria lasisitiza marufuku ya kushirikiana na adui Mzayuni

Baraza la Fatwa la Syria lasisitiza marufuku ya kushirikiana na adui Mzayuni

IQNA – Baraza Kuu la Fatwa la Syria limesema mojawapo ya kanuni zisizopingika za Uislamu ni marufuku ya usaliti na kushirikiana na adui Mzayuni au Muisraeli...
19 Jul 2025, 18:01
Warsha ya kuhifadhi  Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

Warsha ya kuhifadhi Qur’ani yaanza Karbala, Iraq

IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
19 Jul 2025, 17:48
Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

Nakala 15,000 za Qur’ani na vitabu vya Sala vyasambazwa katika kaburi la Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq

IQNA – Idara inayosimamia kaburi au Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza usambazaji wa takriban nakala 15,000 za Qur’ani Tukufu na...
19 Jul 2025, 17:38
Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi  wakati Hija

Zaidi ya watu milioni 1.9 waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi wakati Hija

IQNA – Karibu watu milioni mbili waliswali katika Al-Rawdah Al-Sharif ndani ya Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina wakati wa msimu wa Hija...
19 Jul 2025, 17:28
Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Afisa mmoja wa masuala ya utamaduni kutoka Iran amesema kwamba matembezi makubwa ya kila mwaka ya Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kuonesha ustaarabu...
18 Jul 2025, 18:45
Picha‎ - Filamu‎