Habari Maalumu
IQNA – Dr. Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa Rais wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wakuu wa taasisi hiyo, ameaga dunia alfajiri...
07 Oct 2025, 20:03
IQNA – Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametaja Qur’ani Tukufu kuwa silaha yenye nguvu dhidi ya maadui.
05 Oct 2025, 13:11
IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven,...
05 Oct 2025, 13:06
IQNA – Profesa Abdul Karim Saleh, Mkuu wa Kamati ya Mapitio ya Qur’ani ya Al-Azhar, ametangazwa na kupewa heshima kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” katika...
05 Oct 2025, 13:02
IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu,...
05 Oct 2025, 12:54
IQNA-Vita vya Ghaza na jinai nyingine zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel zimekabiliwa na msururu wa mashinikizo ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni...
05 Oct 2025, 13:19
IQNA – Afisa wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya kwanza ya Qur'ani ya Zayin al-Aswat amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo la Qur'an ni kutambua, kulea,...
04 Oct 2025, 16:04
IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira...
04 Oct 2025, 15:59
IQNA – Mpango kabambe wa utafiti wa maisha ya maulamaa 84,000 wa Kiislamu umezinduliwa rasmi, kwa mujibu wa msomi wa Kiislamu kutoka Iran.
04 Oct 2025, 15:51
IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imesema iko tayari “kuwaachilia mateka wote Waisraeli, walio hai na waliokufa,” lakini...
04 Oct 2025, 15:39
IQNA – Qari kijana kutoka Iran aliyeshiriki katika toleo la kwanza la mashindano ya Qur’ani ya ‘Zayin al-Aswat’(mapambo ya sauti) amesifu ubora wa mashindano...
03 Oct 2025, 18:04
IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani yenye jina “Zayen al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilifanyika siku ya Alhamisi mjini Qom,...
03 Oct 2025, 17:59
IQNA – Toleo la 31 la mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Croatia limehitimishwa kwa hafla rasmi mjini Zagreb.
03 Oct 2025, 17:53
IQNA – Msichana wa Kipalestina aliyejeruhiwa ameweza kuhifadhi Qur'ani Tukufu yote akiwa kitandani hospitalini.
03 Oct 2025, 17:48
IQNA – Idadi kubwa ya watu wameshiriki katika maandamano katika nchi mbalimbali kuonyesha mshikamano na Gaza na kulaani hatua ya Israel kuuteka nyara ...
03 Oct 2025, 17:41
QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia...
02 Oct 2025, 17:08