IQNA

Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Jumba la Makumbusho moja jijini Istanbul limezindua uzoefu wa hali halisi ya mtandao (Virtual Reality – VR) unaowawezesha wageni kutembelea Msikiti...

Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

IQNA – Mahakama ya rufaa nchini Sweden (Uswidi) imesitisha hukumu dhidi ya Rasmus Paludan, mwanasiasa wa mrengo wa kulia mwenye uraia wa Denmark na Sweden,...

Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema...

Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

IQNA – Mamlaka ya utawala wa Kizayuni imezuia Sheikh Ikrima Sabri, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la al-Quds (Jerusalem)...
Habari Maalumu
Dr. Ahmed Omar Hashem, Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mwanazuoni mkuu, amefariki dunia

Dr. Ahmed Omar Hashem, Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mwanazuoni mkuu, amefariki dunia

IQNA – Dr. Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa Rais wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wakuu wa taasisi hiyo, ameaga dunia alfajiri...
07 Oct 2025, 20:03
Qur’ani Tukufu  ni silaha yenye nguvu dhidi ya maadui asema kamanda wa IRGC

Qur’ani Tukufu ni silaha yenye nguvu dhidi ya maadui asema kamanda wa IRGC

IQNA – Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametaja Qur’ani Tukufu kuwa silaha yenye nguvu dhidi ya maadui.
05 Oct 2025, 13:11
Polisi Uingereza wachunguza tukio la chuki baada ya moto katika Msikiti wa East Sussex

Polisi Uingereza wachunguza tukio la chuki baada ya moto katika Msikiti wa East Sussex

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven,...
05 Oct 2025, 13:06
Msomi wa Al-Azhar atambuliwa kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” Katika Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Libya

Msomi wa Al-Azhar atambuliwa kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” Katika Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Libya

IQNA – Profesa Abdul Karim Saleh, Mkuu wa Kamati ya Mapitio ya Qur’ani ya Al-Azhar, ametangazwa na kupewa heshima kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” katika...
05 Oct 2025, 13:02
Watoto wa Mashujaa huko Sa’ada Yemen waenziwa katika Mashindano ya Qur'ani

Watoto wa Mashujaa huko Sa’ada Yemen waenziwa katika Mashindano ya Qur'ani

IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu,...
05 Oct 2025, 12:54
Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Vita vya Ghaza na jinai nyingine zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel zimekabiliwa na msururu wa mashinikizo ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni...
05 Oct 2025, 13:19
Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ yatia motisha kizazi kipya cha Wasomaji na Wahifadhi

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ yatia motisha kizazi kipya cha Wasomaji na Wahifadhi

IQNA – Afisa wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya kwanza ya Qur'ani ya Zayin al-Aswat amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo la Qur'an ni kutambua, kulea,...
04 Oct 2025, 16:04
Sharjah yakaribisha kizazi kipya cha wahifadhi wa Qur'ani Tukufu

Sharjah yakaribisha kizazi kipya cha wahifadhi wa Qur'ani Tukufu

IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira...
04 Oct 2025, 15:59
Mpango wazinduliwa kuhusu kuandika wasifu wa maulamaa 84,000 wa Kiislamu

Mpango wazinduliwa kuhusu kuandika wasifu wa maulamaa 84,000 wa Kiislamu

IQNA – Mpango kabambe wa utafiti wa maisha ya maulamaa 84,000 wa Kiislamu umezinduliwa rasmi, kwa mujibu wa msomi wa Kiislamu kutoka Iran.
04 Oct 2025, 15:51
Hamas Yajibu Mpango wa Trump na kusema 'Hakuna utawala wa kigeni utakaosimamia Gaza'

Hamas Yajibu Mpango wa Trump na kusema 'Hakuna utawala wa kigeni utakaosimamia Gaza'

IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imesema iko tayari “kuwaachilia mateka wote Waisraeli, walio hai na waliokufa,” lakini...
04 Oct 2025, 15:39
Qari Kijana: Mashindano ya ‘Zayin al-Aswat’ Ni Jukwaa Muafaka la Kugundua Vipaji vya Qur’ani

Qari Kijana: Mashindano ya ‘Zayin al-Aswat’ Ni Jukwaa Muafaka la Kugundua Vipaji vya Qur’ani

IQNA – Qari kijana kutoka Iran aliyeshiriki katika toleo la kwanza la mashindano ya Qur’ani ya ‘Zayin al-Aswat’(mapambo ya sauti) amesifu ubora wa mashindano...
03 Oct 2025, 18:04
Washindi waenziwa katika Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Qur’ani ‘ya Zayin al-Aswat’ Mjini Qom

Washindi waenziwa katika Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Qur’ani ‘ya Zayin al-Aswat’ Mjini Qom

IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani yenye jina “Zayen al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilifanyika siku ya Alhamisi mjini Qom,...
03 Oct 2025, 17:59
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Croatia waenziwa

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Croatia waenziwa

IQNA – Toleo la 31 la mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Croatia limehitimishwa kwa hafla rasmi mjini Zagreb.
03 Oct 2025, 17:53
Msichana wa Kipalestina akamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu hospitalini licha ya majeraha makubwa

Msichana wa Kipalestina akamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu hospitalini licha ya majeraha makubwa

IQNA – Msichana wa Kipalestina aliyejeruhiwa ameweza kuhifadhi Qur'ani Tukufu yote akiwa kitandani hospitalini.
03 Oct 2025, 17:48
‘Gaza, Huko Peke Yako’: Waandamanaji duniani walaani Israel kwa kuteka meli za misaada ya Gaza

‘Gaza, Huko Peke Yako’: Waandamanaji duniani walaani Israel kwa kuteka meli za misaada ya Gaza

IQNA – Idadi kubwa ya watu wameshiriki katika maandamano katika nchi mbalimbali kuonyesha mshikamano na Gaza na kulaani hatua ya Israel kuuteka nyara ...
03 Oct 2025, 17:41
Al-Azhar ya Misri yazindua Apu ya kufundisha Qur’ani Tukufu

Al-Azhar ya Misri yazindua Apu ya kufundisha Qur’ani Tukufu

QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia...
02 Oct 2025, 17:08
Picha‎ - Filamu‎