IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 19 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Mojtaba Parvizi, Mahdi Gholamnejad, na Mohammad Hassan Movahedi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.