IQNA

Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran

Picha: Hafla ya Kufunga Tamasha la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini Iran

IQNA – Hafla ya kufunga Tamasha la 39 la Kitaifa la Qur’ani na Etrat kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran ilifanyika Jumapili, tarehe 9 Novemba 2025, katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Azad, tawi la Isfahan.
18:42 , 2025 Nov 11
Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Mifano ya ushirikiano unaojengwa juu ya msingi wa kheri na uchamungu, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, haijabana tu katika kutoa mali na sadaka kwa masikini na wahitaji. Bali, kama kanuni ya jumla, ushirikiano huu una upeo mpana unaogusa masuala ya kijamii, kisheria, na kimaadili.
18:40 , 2025 Nov 11
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali wa Marekani kwa kunukuu aya ya Qur’ani Tukufu.
18:27 , 2025 Nov 11
Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

IQNA – Mpango mpya wa kielimu uitwao Furqan umeanzishwa mjini Nouakchott kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi yatima kuboresha uwezo wao wa kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu.
18:22 , 2025 Nov 11
Maqari 1,266 Kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani ya Katara Nchini Qatar

Maqari 1,266 Kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani ya Katara Nchini Qatar

IQNA – Taasisi ya Utamaduni ya Katara nchini Qatar imetangaza kuwa toleo la 9 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Katara, litakalofanyika kwa kauli mbiu “Pamba Qur’ani kwa Sauti Zenu”, limepokea jumla ya maombi 1,266.
17:21 , 2025 Nov 11
Taasis ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar Yafungua Matawi 70 Mapya Nchini Misri

Taasis ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar Yafungua Matawi 70 Mapya Nchini Misri

IQNA – Msikiti Mkuu wa Al-Azhar umetangaza uzinduzi wa matawi mapya 70 ya Taasisi ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar katika miji mbalimbali ya Misri.
17:16 , 2025 Nov 11
Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92

Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92

IQNA – Mwanasayansi na msomi wa Kiislamu kutoka Misri, Dkt. Zaghloul Ragheb Mohammed El-Naggar, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 92, kwa mujibu wa taarifa ya familia.
14:34 , 2025 Nov 10
Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Naibu wa Qur’ani na Etrat katika Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu mjini Tehran, kwa ushiriki wa wadau wote wa Qur’ani na Etrat.
14:29 , 2025 Nov 10
Idhaa ya Cairo Kuanza Kurusha Kisomo cha Qur’ani cha Wanafunzi wa Al-Azhar

Idhaa ya Cairo Kuanza Kurusha Kisomo cha Qur’ani cha Wanafunzi wa Al-Azhar

IQNA – Kisomo cha Qur’ani Tukufu kwa tarteel kilichorekodiwa na wanafunzi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kitaanza kurushwa hewani kupitia Idhaa ya Qur’ani ya Cairo kuanzia leo.
14:23 , 2025 Nov 10
Saudi Arabia Yazindua Mkutano Mkubwa wa Huduma za Hija kwa Kauli Mbiu ‘Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni’

Saudi Arabia Yazindua Mkutano Mkubwa wa Huduma za Hija kwa Kauli Mbiu ‘Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni’

IQNA – Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia siku ya Jumapili imezindua rasmi Mkutano na Maonesho ya 5 ya Hajj kwa mwaka 1447 Hijria, yanayoendelea kuanzia tarehe 9 hadi 12 Novemba 2025 katika jiji la Jeddah, chini ya kauli mbiu “Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni.”
14:17 , 2025 Nov 10
Awamu  ya Awali ya Kusoma Qur’ani Tukufu Yaanza Rasmi Nchini Qatar

Awamu ya Awali ya Kusoma Qur’ani Tukufu Yaanza Rasmi Nchini Qatar

IQNA – Awamu ya kwanza ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani imeanza rasmi nchini Qatar, kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu.
14:14 , 2025 Nov 10
Qur'an kwa Lugha ya Rohingya: Mradi wa Kuamsha Lugha ya Waliodhulumiwa

Qur'an kwa Lugha ya Rohingya: Mradi wa Kuamsha Lugha ya Waliodhulumiwa

IQNA – Mradi wa kutafsiri Qur'an kwa lugha ya Rohingya umeanzishwa katika mazingira ambapo Waislamu wa Rohingya wamekuwa wakilengwa na dhulma na kufukuzwa kutoka ardhi yao kwa miongo kadhaa. Lengo lake ni kuziba pengo la maarifa ya Kiislamu na kupambana na ukandamizaji wa lugha ya Rohingya.
17:43 , 2025 Nov 09
Washairi kutoka nchi 25 washiriki Tamasha la Kimataifa la “Mtume wa Rehema”

Washairi kutoka nchi 25 washiriki Tamasha la Kimataifa la “Mtume wa Rehema”

IQNA – Washairi kutoka nchi 25 wamewasilisha takriban mashairi 1,500 katika Tamasha la Kimataifa la Ushairi la “Mtume wa Rehema,” lilioandaliwa kwa heshima ya kutimia miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW).
17:16 , 2025 Nov 09
Shirikisho la Soka la Ireland Laitaka UEFA kuifukuza Israel katika mashindano ya soka Ulaya

Shirikisho la Soka la Ireland Laitaka UEFA kuifukuza Israel katika mashindano ya soka Ulaya

IQNA – Katika kura ya maamuzi yenye uzito, Shirikisho la Soka la Ireland (FAI) limeunga mkono azimio linaloitaka UEFA kuifukuza Israel kutoka kwenye mashindano ya kimataifa na ya vilabu barani Ulaya.
17:11 , 2025 Nov 09
Kituo cha uchapishaji wa Qur'ani Tukufu Iran chatumia Teknolojia ya Akili Mnemba

Kituo cha uchapishaji wa Qur'ani Tukufu Iran chatumia Teknolojia ya Akili Mnemba

IQNA – Kituo cha Uchapishaji na Usambazaji wa Qur'an Tukufu cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza kutumia teknolojia za Akili Mnemba (AI) kwa ajili ya kutengeneza nakala za Qur'ani za kidijitali, hatua inayofungua ukurasa mpya wa kuunganisha urithi wa kiroho na ubunifu wa kisasa.
17:07 , 2025 Nov 09
1