IQNA

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 22

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 22

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:25 , 2025 Mar 23
Juzuu ya 22- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 22- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 22 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ali Ghasemabadi, Mahdi Gholamnejad, Ali Kamran, na Mohammad Javad Javari.Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
05:19 , 2025 Mar 23
Msomi: Imam Ali (AS) alileta uzoefu wenye thamani kuhusu Utawala wa Kiislamu

Msomi: Imam Ali (AS) alileta uzoefu wenye thamani kuhusu Utawala wa Kiislamu

IQNA – Msomi cha Chuo cha Kiislamu (Hawzah) huko Najaf , Iraq amesema kuwa Imam Ali (AS) alileta uzoefu wenye thamani kubwa katika utawala wa Kiislamu kwa Ummah wa Kiislamu.
16:26 , 2025 Mar 22
Washindi waMashindano ya Qur'ani kwa Watoto Doha wapata zawadi

Washindi waMashindano ya Qur'ani kwa Watoto Doha wapata zawadi

IQNA – Watoto wadogo waliochukua walioshika nafasi za juu katika toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wameitunukiwa tuzo.
16:14 , 2025 Mar 22
Mwezi wa Ramadhani nchini Oman

Mwezi wa Ramadhani nchini Oman

IQNA – Nchini Oman, nchi ya Kiarabu katika eneo la Asia Magharibi, Ramadhani unajulikana kama mwezi uliopewa kipaumbele kwa ajili ya hisani na matendo mema.
16:08 , 2025 Mar 22
Nchi 51 zinashiriki Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan

Nchi 51 zinashiriki Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan

IQNA – Jordan imezindua mashindano yake ya 32 ya Qur'ani ya kimataifa, yanayojulikana kama Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan , kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 51.
15:43 , 2025 Mar 22
Ayatullah Khamenei: Ikiwa Marekani itafanya ukhabithi dhidi ya taifa la Iran, itazabwa kofi kali

Ayatullah Khamenei: Ikiwa Marekani itafanya ukhabithi dhidi ya taifa la Iran, itazabwa kofi kali

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani dhidi ya kutumia lugha ya vitisho dhidi ya Iran.
02:54 , 2025 Mar 22
Juzuu ya 21- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 21- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 21 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Jafar Fardi, Ali Kamran, Mojtaba Parvizi, na Mohammad Hassan Movahedi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
02:27 , 2025 Mar 22
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 21

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 21

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
02:21 , 2025 Mar 22
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 20

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 20

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
06:41 , 2025 Mar 21
Juzuu ya 20 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 20 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 20 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Seyyed Mohammad Kermani, Vahid Barati, na Mohammad Javad Javari. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
06:36 , 2025 Mar 21
Ayatullah Khamenei asisitiza msimamo wa Umoja wa Umma wa Kiislamu kukabiliana na Israel

Ayatullah Khamenei asisitiza msimamo wa Umoja wa Umma wa Kiislamu kukabiliana na Israel

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, ameyataja mashambulizi mapya ya utawala wa Israel dhidi ya Gaza kama uhalifu mkubwa na wa kikatili. 
17:22 , 2025 Mar 20
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 19

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 19

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
10:41 , 2025 Mar 20
Juzuu ya 19 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 19 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 19 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Mojtaba Parvizi, Mahdi Gholamnejad, na Mohammad Hassan Movahedi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
10:40 , 2025 Mar 20
Dunia yalaani mashambulizi mapya ya  Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

Dunia yalaani mashambulizi mapya ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

IQNA-Jamii ya kimataifa imebainisha hasira yake baada ya utawala katili wa Israel kuendelea na mashambulizi ya anga dhidi ya Gaza, huku ikivunja makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyokuwa na lengo la kumaliza mzozo wake wa miezi 17 na Hamas.
17:02 , 2025 Mar 19
1