IQNA

Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Uharibifu wa msikiti mmoja huko Basildon wiki iliyopita umekemewa vikali na umeibua wasiwasi mpya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza.
16:55 , 2025 Sep 02
Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.
16:51 , 2025 Sep 02
Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
16:45 , 2025 Sep 02
Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya usomaji wa Qur’ani na uhifadhi wa Hadithi za Mtume Muhamad (SAW) yalifanyika katika jiji la Kairouan, Tunisia.
16:38 , 2025 Sep 02
Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani ya Restu.
16:29 , 2025 Sep 02
Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

IQNA – Mtume Muhammad (SAW) alifanikiwa kuunda jamii moja kutoka kwa makabila yaliyoachana kwa kutumia huruma na rehema zake, amesema msomi mmoja nchini Iran.
20:58 , 2025 Sep 01
Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Yemen kufuatia kuuawa shahidi kwa Waziri Mkuu wa Yemen, Ahmad Ghaleb Al-Rahawi, pamoja na mawaziri kadhaa wa serikali yake katika shambulio la anga la Israel lililofanyika hivi karibuni mjini Sanaa.
17:31 , 2025 Sep 01
Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Uongozi wa Palestina wa Jimbo la al-Quds umetangaza kuwa Israel inafanya uchimbaji haramu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Mashariki mwa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, na kusababisha uharibifu wa athari za Kiislamu.
12:59 , 2025 Sep 01
Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiiraqi ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi– PMU) ni takwa la watu wote wa Iraq.
12:45 , 2025 Sep 01
Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya Wanafunzi waenziwa nchini Iraq

IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya ya Kisayansi ya Qur’ani Tukufu chini ya usimamizi wa Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Abul-Fadhlil Abbas (AS).
12:34 , 2025 Sep 01
Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

Mufti wa New Zealand apongeza hafla ya Saa ya Qur’ans nchini Malaysia

IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
17:44 , 2025 Aug 31
Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

Nakala za kale za Qur'ani zilizoko Vatican

IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa katika maktaba hii.
17:37 , 2025 Aug 31
Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya kijeshi iliyofanywa na Israel dhidi ya Yemen, ambayo imesababisha kuuawa kwa shahidi Waziri Mkuu wa Yemen na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya nchi hiyo.
12:39 , 2025 Aug 31
Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

Waumini milioni 52 watembelea Misikiti Mitakatifu ya Makkah na Madina mwezi uliopita

IQNA – Karibu wamilioni 53 za ziara zilirekodiwa katika Msikiti Mkuu wa Makkah na Msikiti wa Mtume huko Madina katika mwezi mmoja uliopita wa Hijria Qamaria.
11:51 , 2025 Aug 31
Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi abainisha mchakato wa kuunda Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani, amesema msomi mmoja nchini Iran.
11:39 , 2025 Aug 31
1