IQNA

Mashindano ya 17 ya Qur'ani ya Televisheni ya Al-Kawthar yafika nusu fainali

Mashindano ya 17 ya Qur'ani ya Televisheni ya Al-Kawthar yafika nusu fainali

IQNA – Maqari waliofanikiwa kuingia katika awamu ya nusu fainali ya Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Al-Kawthar TV wametangazwa.
16:14 , 2024 Apr 07
Sheikh Mkuu wa Al Azhar: Binadamu Anahitaji Mwongozo wa Qur'ani Tukufu

Sheikh Mkuu wa Al Azhar: Binadamu Anahitaji Mwongozo wa Qur'ani Tukufu

IQNA - Imamu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema matukio machungu yanayotokea duniani yanadhihirisha ukweli kwamba ubinadamu unahitaji mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
16:01 , 2024 Apr 07
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Misri watunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Misri watunukiwa

IQNA - Washindi wa Awamu ya 30 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Misri wametunukiwa zawadi katika hafla ya Jumamosi.
11:58 , 2024 Apr 07
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
11:21 , 2024 Apr 07
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 27

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 27

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
00:23 , 2024 Apr 07
Maqari wa Algeria, Malaysia, na Indonesia washinda mashindano ya Qur’ani Qatar

Maqari wa Algeria, Malaysia, na Indonesia washinda mashindano ya Qur’ani Qatar

IQNA - Washindi wa  mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara 2024 walitunukiwa katika hafla iliyofanyika Doha, Qatar, Ijumaa.
00:04 , 2024 Apr 07
Tafiti za Kisayansi Zafichua Faida za Kufunga

Tafiti za Kisayansi Zafichua Faida za Kufunga

IQNA - Kufunga au saumu ni jambo la kawaida katika tamaduni na dini nyingi ulimwenguni kwa milenia.
23:56 , 2024 Apr 06
Taasisi Iran yakamilisha tafsiri ya Qur'ani kwa Kiswidi ili 'Kupambana na Ujinga'

Taasisi Iran yakamilisha tafsiri ya Qur'ani kwa Kiswidi ili 'Kupambana na Ujinga'

IQNA - Taasisi moja ya Kiislamu nchini  Iran imetangaza kuwa imekamilisha tafsiri ya Kiswidi ya Qur'ani Tukufu katika hatua ya "kupambana na ujahilia" au ujingakufuatia matukio kadhaa ya kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini humo mwaka jana.
23:06 , 2024 Apr 06
Laylatul Qadr huko Makka: Waislamu Milioni 2.5 wajumuika Katika Msikiti Mkuu

Laylatul Qadr huko Makka: Waislamu Milioni 2.5 wajumuika Katika Msikiti Mkuu

IQNA-Katika mkusanyiko wa kihistoria, Waislamu milioni 2.5 walikusanyika na kusali katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, Saudi Arabia, siku ya Ijumaa kuhusiha mojawapo ya usiku mtukufu zaidi wa Ramadhani mwaka huu.
22:06 , 2024 Apr 06
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
21:24 , 2024 Apr 06
Nasrallah: Harakati za Muqawama zitapata 'ushindi mkubwa' katika vita dhidi ya Israel

Nasrallah: Harakati za Muqawama zitapata 'ushindi mkubwa' katika vita dhidi ya Israel

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema mhimili wa muqawama una uhakika wa kupata "ushindi mkubwa" katika vita vyake vinavyoendelea dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
06:20 , 2024 Apr 06
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 26

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 26

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
06:17 , 2024 Apr 06
Utawala wa Kizayuni wa Israel ni nembo ya kimataifa ya jinai

Utawala wa Kizayuni wa Israel ni nembo ya kimataifa ya jinai

IQNA- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa Tehran ameashiria jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika mauaji ya wanawake na watoto wa Kipalestina na kusema: "Utawala bandia wa Kizayuni unaoua watoto sasa umebadilika na kuwa nembo ya jinai katika mfumo wa kisheria wa kimataifa.
17:39 , 2024 Apr 05
Kamanda Mkuu wa IRGC: Utawala bandia wa Israel unakaribia kusambaratika

Kamanda Mkuu wa IRGC: Utawala bandia wa Israel unakaribia kusambaratika

IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) anasema utawala wa Kizayuni wa Israel utasambaratika hivi karibuni, akibainisha kuwa Marekani inaiunga mkono waziwazi Israel.
16:43 , 2024 Apr 05
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
16:18 , 2024 Apr 05
8