IQNA

Imam Hussein (AS) ni Kielelezo cha Milele cha Kusimama Dhidi ya Dhulma

Imam Hussein (AS) ni Kielelezo cha Milele cha Kusimama Dhidi ya Dhulma

IQNA – Leo ni Ijumaa tarehe Tatu Rajab 1447 Hijria sawa na 23 Januari mwaka 2026. Siku kama ya leo miaka 1443 iliyopita, alizaliwa Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS) mjukuu mtukufu wa Mtume Muhammad (SAW).
15:29 , 2026 Jan 23
Kiongozi wa Yemen asema Marekani imefedheheka baada ya kuibua ghasia  Iran

Kiongozi wa Yemen asema Marekani imefedheheka baada ya kuibua ghasia Iran

IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema Marekani ilichochea machafuko ya hivi karibuni nchini Iran, na kwamba imefedheheka kwani njama za zimepata kipigo kikubwa cha kimkakati.
14:59 , 2026 Jan 23
Mkutano wa Malaysia wasisitiza kubadilisha Umoja wa Kiislamu kutoka kauli mbiu hadi mkakati wa kivitendo

Mkutano wa Malaysia wasisitiza kubadilisha Umoja wa Kiislamu kutoka kauli mbiu hadi mkakati wa kivitendo

IQNA-Katika Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu na Palestina uliofanyika Malaysia, wazungumzaji walilitaja suala la Palestina kuwa “ dira ya maadili ya Ummah wa Kiislamu” na kusisitiza umuhimu wa kuubadilisha umoja wa Kiislamu kutoka maneno ya majukwaani hadi mkakati wa kivitendo.
10:31 , 2026 Jan 22
Theluji yafunika maeneo ya mijini na vijijini Kaskazini Magharibi mwa Iran

Theluji yafunika maeneo ya mijini na vijijini Kaskazini Magharibi mwa Iran

Theluji imefunika mji wa Ahar pamoja na maeneo mengine ya mijini na vijijini katika mkoa wa Azerbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran, hali iliyowaletea furaha wakazi na hasa wakulima waliokuwa wakingoja neema ya msimu.
10:17 , 2026 Jan 22
Redio ya Mauritania yaanza kurekodi qiraa ya tartil ya Qur'ani Tukufu

Redio ya Mauritania yaanza kurekodi qiraa ya tartil ya Qur'ani Tukufu

IQNA-Hafla ya kuanza kurekodi qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa mtindo wa tartīl kwa riwaya za Warsh na Qālūn imefanyika katika Redio ya Mauritania.
13:51 , 2026 Jan 21
Wanazuoni wa Kiislamu duniani watoa Fatwa kuharamisha mahusiano na Israel

Wanazuoni wa Kiislamu duniani watoa Fatwa kuharamisha mahusiano na Israel

IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (International Union of Muslim Scholars – IUMS) umetoa fatwa (hukumu ya kidini) ikitangaza kwamba kuwa na mahusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu kisheria kwa mujibu wa Uislamu.
13:37 , 2026 Jan 21
Wanazuoni wa Hawza ya Qom walaani kauli za Trump

Wanazuoni wa Hawza ya Qom walaani kauli za Trump

IQNA – Kauli za kubeza za mtawala wa Marekani Donald Trump kuhusu Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, zimezua lawama kali kutoka kwa Jumuiya ya Walimu wa Hawza (vyuo vya Kiislamu) katika mji mtakatifu wa Qom nchini Iran.
13:29 , 2026 Jan 21
Harakati ya Nujabaa ya Iraq: Tishio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni tangazo la vita

Harakati ya Nujabaa ya Iraq: Tishio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni tangazo la vita

IQNA – Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Nujaba ya Iraq amesema kuwa tishio lolote dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, linachukuliwa kuwa ni tangazo la vita.
13:07 , 2026 Jan 21
Kuimarisha Mshikamano wa Qur’ani, Familia na Jamii katika Msikiti wa São Paulo

Kuimarisha Mshikamano wa Qur’ani, Familia na Jamii katika Msikiti wa São Paulo

IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti.
12:08 , 2026 Jan 21
Picha za Kikao cha Usomaji wa Qur'ani Tukufu Katika Msikiti wa Ahvaz

Picha za Kikao cha Usomaji wa Qur'ani Tukufu Katika Msikiti wa Ahvaz

IQNA – Kikao cha usomaji wa Qurani kimefanyika katika Msikiti wa Hazrat Abulfadh (AS) mjini Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran, tarehe 19 Januari 2026, kwa mnasaba wa Eid al-Mab’ath, siku ya kukumbuka kutumwa kwa Muhammad (SAW) kuwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu.
15:36 , 2026 Jan 20
Hujjatul Islam Shahriari asisitiza umuhimu wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu

Hujjatul Islam Shahriari asisitiza umuhimu wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
15:33 , 2026 Jan 20
Israel imeua zaidi wafanyakazi 1,300 wa sekta ya elimu katika mauaji ya kimbari Gaza

Israel imeua zaidi wafanyakazi 1,300 wa sekta ya elimu katika mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Ripoti ya pamoja ya Wizara ya Elimu na Elimu ya Juu ya Palestina imeripoti kuwa, kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2025, walimu wasipungua 1,377 na wafanyakazi wa elimu waliuawa shahidi na 4,757 wamejeruhiwa katika mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel huko Gaza.
15:09 , 2026 Jan 20
Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu Tehran Kufanyika Februari 20

Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu Tehran Kufanyika Februari 20

IQNA – Toleo la 33 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu mjini Tehran linatarajiwa kuzinduliwa katika mji mkuu wa Iran tarehe 20 Februari 2026, kwa mujibu wa taarifa ya afisa mwandamizi.
14:54 , 2026 Jan 20
Taarifa ya Ofisi ya Imam Khamenei: Jumatano ni siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban

Taarifa ya Ofisi ya Imam Khamenei: Jumatano ni siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban

IQNA – Siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban katika kalenda ya Hijria Qamaria ya mwaka 1447 inatarajiwa kuwa Jumatano.
14:00 , 2026 Jan 20
Waislamu Malaysia waunga mkono mitazamo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Waislamu Malaysia waunga mkono mitazamo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Baraza la Mashauriano la Mashirika ya Kiislamu Malaysia (MAPIM) limetoa tamko likieleza kuunga mkono msimamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu kumweka rais wa Marekani kuwa na dhima juu ya vifo na uharibifu uliotokana na machafuko ya hivi karibuni nchini Iran.
14:05 , 2026 Jan 19
3