IQNA – Kauli za kubeza za mtawala wa Marekani Donald Trump kuhusu Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, zimezua lawama kali kutoka kwa Jumuiya ya Walimu wa Hawza (vyuo vya Kiislamu) katika mji mtakatifu wa Qom nchini Iran.
13:29 , 2026 Jan 21