IQNA

Mkishukuru Yeye hufurahika nanyi

Mkishukuru Yeye hufurahika nanyi

Katika dunia ya leo yenye misukosuko na harakati nyingi, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mkusanyiko wa 'Sauti ya Wahy' ukiwa na chaguo la aya za Qur’ani ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye utulivu."
17:57 , 2025 Sep 03
Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

IQNA – Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) wamepongezwa kwa mafanikio yao katika Jukwaa la Kimataifa la Uhakiki wa Ijazah za Qur’ani na Kuheshimu Maqari wa ASEAN, lililofanyika nchini Malaysia.
17:47 , 2025 Sep 03
Raia wa Argentina akumbatia Uislamu nchini Misri

Raia wa Argentina akumbatia Uislamu nchini Misri

IQNA – Raia mmoja wa Argentina ameukumbatia Uislamu (amesilimu) katika Msikiti wa Mina uliopo katika jiji la Hurghada, nchini Misri.
17:42 , 2025 Sep 03
Watu 97,000 watembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Madina mwezi Agosti

Watu 97,000 watembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Madina mwezi Agosti

IQNA – Zaidi ya watu 97,000 kutoka mataifa mbalimbali walitembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Mfalme Fahd kilichopo Madina, Saudi Arabia mwezi Agosti 2025.
17:37 , 2025 Sep 03
Iran yaanza maandalizi ya Hija ya mwaka ujao

Iran yaanza maandalizi ya Hija ya mwaka ujao

IQNA – Baraza la Mipango na Uratibu kutoka ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu katika Masuala ya Hija na Ziara, pamoja na Shirika la Hija na Ziara la Iran, wameanza maandalizi ya safari ya Hija ya mwaka ujao.
17:34 , 2025 Sep 03

Makumbusho ya Houston Yaonesha Karne za Sanaa ya Qur’ani Katika Maonyesho Mapya

IQNA – Jumba la Makumbusho ya Sanaa la Houston, jimbo la Texas nchini Marekani, linaandaa maonyesho ya nakala za Qur’ani kutoka maeneo mbalimbali ya ulimwengu wa Kiislamu.
17:29 , 2025 Sep 03
Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

Msikiti wa Basildon Uingereza waharibiwa katika tukio la Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Uharibifu wa msikiti mmoja huko Basildon wiki iliyopita umekemewa vikali na umeibua wasiwasi mpya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza.
16:55 , 2025 Sep 02
Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

Msikiti Maarufu wa al-Nouri Wafunguliwa Rasmi Nchini Iraq, Mosul

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.
16:51 , 2025 Sep 02
Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

Shirikisho la wasomi wa Qur’ani la Misri, lenye lengo la kugundua vipaji vipya kupitia mashindano ya kitaifa

IQNA – Rais wa Shirikisho la Wasomi wa Qur’ani la Misri amesema kuwa mashindano ya kitaifa yanafungua milango ya kugundua vipaji vipya miongoni mwa vijana wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
16:45 , 2025 Sep 02
Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa Nchini Tunisia yaanza sambamba na Miald-un-Nabi

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya usomaji wa Qur’ani na uhifadhi wa Hadithi za Mtume Muhamad (SAW) yalifanyika katika jiji la Kairouan, Tunisia.
16:38 , 2025 Sep 02
Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

Mwanazuoni wa Qur’ani wa Misri atangaza kumaliza ‘Mushaf Al-Ummah’

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani ya Restu.
16:29 , 2025 Sep 02
Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

Huruma na Hekima ya Mtume Muammad (SAW) Zilibadilisha Makabila na Kuunda Jamii Moja

IQNA – Mtume Muhammad (SAW) alifanikiwa kuunda jamii moja kutoka kwa makabila yaliyoachana kwa kutumia huruma na rehema zake, amesema msomi mmoja nchini Iran.
20:58 , 2025 Sep 01
Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

Kiongozi wa Hizbullah atuma rambirambi baada ya Israel kuwaua kigaidi viongozi wa Yemen

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Yemen kufuatia kuuawa shahidi kwa Waziri Mkuu wa Yemen, Ahmad Ghaleb Al-Rahawi, pamoja na mawaziri kadhaa wa serikali yake katika shambulio la anga la Israel lililofanyika hivi karibuni mjini Sanaa.
17:31 , 2025 Sep 01
Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

Israel Yaharibu Turathi za Kiislamu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Uongozi wa Palestina wa Jimbo la al-Quds umetangaza kuwa Israel inafanya uchimbaji haramu chini ya Msikiti wa Al-Aqsa ulioko Mashariki mwa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, na kusababisha uharibifu wa athari za Kiislamu.
12:59 , 2025 Sep 01
Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

Sheikh Qais Al-KhazaliK: Kuhifadhi Hashd al-Sha’abi ni takwa la taifa la Iraq 

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiiraqi ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi– PMU) ni takwa la watu wote wa Iraq.
12:45 , 2025 Sep 01
1