IQNA

Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Kuhusu Somalia

Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Kuhusu Somalia

IQNA- Kikao cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kilichojadili suala la Somalia na hatua ya utawala wa Kizayuni ya kulitambua eneo la nchi hiyo la Somaliland, kama nchi huru kimefanyika katika makao makuu ya jumuiya hiyo mjini Jeddah, Saudi Arabia.
11:03 , 2026 Jan 11
Kifaa Kipya cha eBraille kurahisisha masomo ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho

Kifaa Kipya cha eBraille kurahisisha masomo ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho

IQNA – Kifaa kipya cha kielektroniki cha eBraille kilichotengenezwa nchini Malaysia kimeleta mageuzi makubwa katika kujifunza Qur'ani Tukufu kwa watu wenye uoni hafifu, au ulemavu wa macho kwa kuwapa uwezo wa kupata maandiko ya dini moja kwa moja kwa njia ambayo haijawahi kupatikana hapo awali, sambamba na kufungua fursa katika nyanja nyingine za elimu.
10:51 , 2026 Jan 11
Waandamanaji waungaji mkono Palestina wachoma bendera za Israel nchini Morocco

Waandamanaji waungaji mkono Palestina wachoma bendera za Israel nchini Morocco

IQNA – Maelfu ya waandamanaji walijitokeza Ijumaa katika mji mkuu wa Morocco kupinga hatua ya nchi hiyo ya kuendeleza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
10:39 , 2026 Jan 11
Mufti Mkuu wa Lebanon aangazia uhusiano wa kindugu kati ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

Mufti Mkuu wa Lebanon aangazia uhusiano wa kindugu kati ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

IQNA – Mufti Mkuu wa Lebanon, Sheikh Abdul Latif Darian, amesema kuwa uhusiano kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini humo ni wa kindugu na wa kuheshimiana.
10:27 , 2026 Jan 11
Rais wa Iran: Marekani, Israel zinalenga kuzuia Umoja wa nchi za Kiislamu

Rais wa Iran: Marekani, Israel zinalenga kuzuia Umoja wa nchi za Kiislamu

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba wakuu Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wanafanya kila wawezalo kuzuia kuundwa kwa umoja miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.
10:19 , 2026 Jan 11
Ayatullah Khamenei: Iran haitalegeza msimamo na itakabiliana na magenge ya wahalifu

Ayatullah Khamenei: Iran haitalegeza msimamo na itakabiliana na magenge ya wahalifu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kundi la watu waharibifu Alhamisi usiku mjini Tehran waliharibu mali za umma na za wananchi kwa ajili ya kumfurahisha rais wa Marekani huku akisisitiza kuwa Iran haitalegeza msimamo katika kukabiliana na magenge ya wahalifu.
10:33 , 2026 Jan 10
Msimu Mpya wa Mashindano ya Qur'ani ya “Dawlat al-Tilawa” Misri kuanza Novemba

Msimu Mpya wa Mashindano ya Qur'ani ya “Dawlat al-Tilawa” Misri kuanza Novemba

IQNA – Msimamizi mkuu wa mashindano ya vipaji vya Qur’ani nchini Misri, maarufu kwa jina “Dawlat al-Tilawa”, ametangaza kuwa msimu mpya wa kipindi hicho kitaanza rasmi Novemba 2026.
11:53 , 2026 Jan 08
Kampeni ya Kihabari kwa ajili ya kuwakomboa wafungwa wa Kipalestina waliotekwa Israel

Kampeni ya Kihabari kwa ajili ya kuwakomboa wafungwa wa Kipalestina waliotekwa Israel

IQNA – Wapigania haki za Wapalestina wamezindua kampeni mahsusi ya vyombo vya habari yenye lengo la kuwakomboa wafungwa walioko katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel, wakisisitiza kuwa mshikamano wa kimataifa na uelewa mpana ndiyo nguzo kuu ya kufanikisha uhuru wao.
11:47 , 2026 Jan 08
Mwana wa Abdul Basit asifu uzinduzi wa Jumba la Makumbusho la Maqari wa Qur’an nchini Misri

Mwana wa Abdul Basit asifu uzinduzi wa Jumba la Makumbusho la Maqari wa Qur’an nchini Misri

IQNA – Mwana wa qari maarufu wa Misri aliyefariki, Abdul Basit Abdul Samad, amepongeza kuanzishwa kwa Jumba la Makumbusho la Waqari wa Qur’an nchini humo.
10:29 , 2026 Jan 08
Msikiti Humpa Mtu Utulivu Mkubwa: Winga wa Barcelona Lamine Yamal

Msikiti Humpa Mtu Utulivu Mkubwa: Winga wa Barcelona Lamine Yamal

IQNA – Winga chipukizi wa Klabu ya Soka ya Barcelona na Hispania, Lamine Yamal, amesema kutembelea msikiti humpa mtu utulivu wa kipekee bila kujali dini anayofuata.
10:23 , 2026 Jan 08
Pigia Kura Kauli Mbiu ya Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Tehran

Pigia Kura Kauli Mbiu ya Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Tehran

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu mjini Tehran imetoa mwito kwa umma kushiriki katika kuchagua kauli mbiu ya toleo la 33 la tukio hili kubwa la Qur’an.
15:58 , 2026 Jan 07
Wageni Milioni moja watembelea Kiwanda cha Kuchapisha Qur’an Madina Mwaka 2025

Wageni Milioni moja watembelea Kiwanda cha Kuchapisha Qur’an Madina Mwaka 2025

IQNA – Kiwanda cha Mfalme Fahd cha Kuchapisha Qur’an kilichoko mjini Madina, Saudi Arabia, kilipokea wageni wapatao milioni moja kutoka ndani na nje ya nchi mwaka uliopita.
15:53 , 2026 Jan 07
New York yaenzi mchango wa Waislamu katika Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani

New York yaenzi mchango wa Waislamu katika Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani

IQNA – Katika hatua ya kutambua historia na mchango wa Waislamu wake, Jimbo la New York limetangaza mwezi wa Januari kuwa Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani.
15:50 , 2026 Jan 07
Vikao vya Itikafu Katika Haram ya Imam Ridha (AS) Mjini Mashhad, Iran

Vikao vya Itikafu Katika Haram ya Imam Ridha (AS) Mjini Mashhad, Iran

IQNA –Ibada ya Itikafu (kujitenga kwa ajili ya ibada msikitini) katika mwezi wa Rajab kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Qamaria imefanyika kuanzia Jumamosi asubuhi hadi Jumatatu jioni katika misikiti na maeneo matukufu kote Iran.
16:41 , 2026 Jan 06
Kusifiwa kwa Msaada wa Malaysia kwa Wapalestina

Kusifiwa kwa Msaada wa Malaysia kwa Wapalestina

IQNA – Imamu wa Msikiti wa Al-Aqsa amesifu msaada wa Malaysia kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina.
16:37 , 2026 Jan 06
6