TEHRAN (IQNA)- Dada wawili nchini Uingereza wamesilimu baada ya kuvutiwa na unyenyekevu pamoja na maadili mema ya mchezaji soka maarufu wa Misri Mohammad Salah, ambaye ni fowadi wa klabu ya Liverpool katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL).
Habari ID: 3474224 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/25