iqna

IQNA

ahazab
TEHRAN (IQNA)- Ufaransa imemtimua kutoka nchi hiyo mhubiri mmoja wa Kiislamu Mkomoro na familia yake baada ya kusikika akisoma aya za Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW zinazowahimiza wanawake Waislamu wajisitiri, wakae nyumbani na wawatii waume zao.
Habari ID: 3475241    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/12