iqna

IQNA

mina
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya Waisalmu milioni mbili kutoka maeneo yote ya dunia wamejumuika katika mji mtakatifu wa Makka kuanza Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3471636    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/19

IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejibu mwaliko rasmi uliotumwa na Saudi Arabia kuhusu kushiriki katika mazungumzo kujadili kadhia kushiriki tena Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470801    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/18

Ufalme Saudi Arabia umeiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazungumzo kuhusu kuwawezesha tena Wairani kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3470766    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/30

Nyaraka za Siri
Huku Saudi Arabia ikijaribu kudai kuwa Ibada ya Hija iliandaliwa kwa mafanikio mwakubwa mwaka huu bila tatizo lolote, ripoti iliyovuja inaonyehsa kuwa mahujaji zaidi ya 800 walifariki wakati wa Hija.
Habari ID: 3470571    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19

Khatibu wa Sala ya Idul Adha Tehran
Khatibu wa Sala ya Idul Adha Tehran amesema watenda jinai katika ukoo wa Aal Saud wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama ya Kiislamu na kuadhibiwa kutokana na maafa ya Mina katika ibada ya Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470560    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala khabithi wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu za Waislamu.
Habari ID: 3470552    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran kamwe hawatasahu maafa ya mauti ya kuogofya ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470545    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran
Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
Habari ID: 3470467    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/21

Kufichuka nyaraka mpya Saudia
Kumefichuka nyaraka mpya kutoka Wizara ya Afya ya Saudi Arabia kuwa zaidi ya mahujaji 7,000 walipoteza maisha katika maafa ya Mina.
Habari ID: 3391296    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya cha serikali za Magharibi na taasisi zinazodai kutetea haki za binadamu kuhusu maafa ya machungu ya Mina.
Habari ID: 3390451    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/19

Rais Hassan Rouhani wa Iran amesisitiza umuhimu wa kudhaminiwa usalama wa mahujaji katika ibada ya kila mwaka ya Hija.
Habari ID: 3385427    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/14

Umoja wa Wanawake Waislamu Duniani wametoa taarifa ya rambirambi kufuatia kuuawa maelfu ya mahujaji kutoka nchi mbali mbali katika mkanyangano wa Mina karibu na mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3385195    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/13

Baada ya kupita wiki mbili
Hatimaye baada ya kupita muda wa wiki mbili, Waziri wa Saudi Arabia anayehusika na Hija ametoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia kuaga dunia Mahujaji wa Iran katika maafa ya Mina.
Habari ID: 3383364    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/09

Sayyid Hassan Nasrallah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa upuuzaji na uzembe wa utawala wa Aal Saud ndio chanzo kikuu cha kujiri maafa ya Mina na kupoteza maisha maelfu ya mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3382979    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/07

Tarehe 24 Septemba katika siku kuu ya Idul Adha wakati zilipoenea habari za kukanyagana na kuzimia baadhi ya Mahujaji huko Mina, hakuna aliyedhani au kuamini kuwa tukio hilo lingegeuka na kuwa maafa makubwa na ya kuogofya ambayo yameshuhudiwa.
Habari ID: 3381643    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/05

Waislamu nchini Tanzania wametaka iundwe kamati ya kimataifa kuchunguza maafa ya hivi karibuni huko Mina karibu na mji mtukufu wa Makka ambapo zaidi ya Mahujaji 5,000 walipoteza maisha.
Habari ID: 3377983    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/03

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lazima ukweli wa maafa ya Mina, Saudia ubainishwe kupitia tume ya uchunguzi itakayosimamiwa na nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3377977    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/03

Maafa ya Mina
Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametoa mkono wa pole kwa serikali na watu wa Iran kufuatia vifo vya Wairani katika maafa yaliyojiri Mina karibu na Makka wakati wa ibada ya Hija hivi karibuni.
Habari ID: 3377239    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/02

Maqarii wengine watatu wa Qur'ani Tukufu Wairani wametambuliwa kuwa miongoni mwa Mahujaji waliopoteza maisha katika maafa ya Mina Alhamisi wiki iliyopita.
Habari ID: 3377233    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/02

Taasisi ya Hija na Ziara ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa rasmi ya takwimu za mwisho kuhusiana na Mahujaji wa Kiirani waliopoteza maisha yao katika maafa ya Mina na kubainisha kwamba, Wairani 464 wamethibitishwa kufariki dunia katika tukio hilo chungu.
Habari ID: 3377110    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/01